|
PostGE2025 - Diamond Platnumz: Wanaweka nguvu kwenye mpira. Wasanii ...
Malipo ni hapa hapa duniani! ------- Msanii Diamond Platnumz, akizungumza leo, Machi 31, 2026, katika mahojiano maalum na kituo cha redio cha Wasafi FM, Diamond ameeleza kusikitishwa kwake na namna serikali inavyomwaga rasilimali nyingi kwenye mchezo wa mpira wa miguu, wakati muziki ukipewa kipaumbele wakati wa kampeni za kisiasa pekee.
PostGE2025 - Diamond Platnumz: Naogopa kuongelea mambo ya Serikali ...
Diamond Platnumz, nyota wa Bongo Fleva, amesema anaogopa kuzungumzia masuala yanayohusu Serikali wakati wa mahojiano katika kituo chake cha redio, Wasafi FM. Akijibu swali kuhusu jitihada za Serikali kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, chini ya Paul Makonda na Mwana FA...
Picha ya Diamond Platnumz aliyopigwa Summer Jam 2025 ... - JamiiForums
Picha ya Diamond Platnumz aliyopigwa Summer Jam 2025 yauzwa pesa ndefu, TSh Milioni 1.3 na Getty Images Kampuni kubwa inayojulikana kimataifa kwa upigaji picha za wasanii wakubwa na matukio makubwa, Getty Images, imetangaza rasmi kuuza picha moja ya Diamond Platnumz kwa $499 (Tsh Milioni 1.3/=)...
Objects pop in and out of diamond city, Preculling issues?
Diamond City Expansion (major expansion to Diamond City with many new NPCs, cells, buildings and more) That last one, the DC Expansion, adds so many new buildings, signs and billboards that the zone shown by bloodhound's photo is cluttered with many new visual obstructions, and there's no opportunity for pop-in.
Fahamu historia ya Diamond Platnumz juu ya maisha na muziki wake
Diamond alirelease nyimbo yake ya nne na kuweka record ya kuwa msanii wa kwanza na pekee kujaza Club Maisha hadi watu kushindwa kuingia na hata wengine kuzimia baada kutokupata hewa ya kutosha kutokna na wingi ujaaji huo.
diamond - JamiiForums
Diamond aweweseka, aanza kununua maroboti yamjazie idadi ya followers Dozi inaanza kumuingia taratibu Diamond, kila akipost hapati comments wala like za kutosha kama mwanzoni hivyo inadhihirisha nguvu yake ya ushawishi inazidi kuporomoka.
Matonya aendelea kusota rumande Kenya, amlilia Diamond Platnumz ...
Wakati Msanii mkongwe wa Bongo Flava kutoka nchini Tanzania, Sefu Shabani, maarufu kama Matonya akiendelea kushikiliwa na mkono wa sheria huko nchini Kenya, ndugu wa karibu anayefahamika kama Omary ambaye yuko nchini Kenya ameelezea kukwama kwa mawasiliano na kuomba msaada wa haraka kutoka kwa...
Baba Levo adai Diamond amelipwa TSh. 2.7 Bilioni kutumbuiza kwenye ...
Msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, amewasili Accra, Ghana, kwa ajili ya kutumbuiza kwenye sherehe ya kuzaliwa ya bilionea maarufu wa nchi hiyo, Richard Nii Armah Quaye. Kwa mujibu wa Baba Levo, Diamond amelipwa kiasi cha shilingi bilioni 2.7 za Kitanzania kwa ajili ya kutumbuiza katika...
List ya nyimbo 10 za Alikiba na Diamond zenye views nyingi YouTube
Orodha ya Nyimbo (Video) kumi (10) za Diamond Platnumz ambazo zenye idadi kubwa ya Watazamaji (Views) kwenye mtandao wa YouTube katika historia yake ya...
PostGE2025 - Majizzo: Ni kweli tunataka kumpoteza Diamond, mtu muhimu ...
PostGE2025 Majizzo: Ni kweli tunataka kumpoteza Diamond, mtu muhimu; aliyewainua Harmonize na Rayvanny? Waufukweni Dec 11, 2025 diamond fanyeni kazi diamond platnumz harmonize rayvanny tunataka kumpoteza diamond zuchu
|